Chuo Kikuu cha Theolojia Mtandaoni 😊
Baada ya muda nikajiridhisha kwa namna ya kibinadamu inawezekana hizo ndoto na maono zilikuwa ni “ndoto tu”; huenda yalikuwa ni mawazo ya utotoni; huenda nilikuwa bwana ndoto (Unakumbuka Yusufu mwana wa Yakobo alivyotungiwa jina).
Hatimaye nikaanza kuelekea uelekeo wangu ninaouelewa mwenyewe. Nitajenga ndoto ya kuwa mwanataaluma nguli – Profesa na Mtafiti… nilipenda kuwa Prof. JK
Kumbe akitiye mbinguni anacheeeeeeeeeeeka 🤣
Anyways, tuyaache hayo…
Mara “Nasikia kuitwa!” 🫣
Kama ningekuwa Profesa sasa nikapata nafasi ya kutunga maswali… Basi, yangesomeka hivi:
“… ni vigumu kwako kuupiga mateke mchokoo…” Matendo ya Mitume 26:14
Kwa kuzingatia muktadha wa andiko fafanua ni kwa jinsi kulizuia kanisa ni kufupiza muhula wako (Alama 30)
Am blessed. Thank you Jesus 🙏🙏